KIONGOZI WA KUPAMBANA NA DAWA ZA KULEVYA AUWAWA ECUADOR

KIONGOZI WA KUPAMBANA NA DAWA ZA KULEVYA AUWAWA ECUADOR

  • Habari
  • February 15, 2025
  • No Comment
  • 85

Polisi nchini Ecuador imesema kuwa Kanali Porfirio Cedeno, aliyekuwa kiongozi wa kikosi maalamu cha anga cha kupambana na mtandao wa wauza dawa za kulevya amefariki dunia baada ya kupigwa risasi na watu wenye silaha.

 

Tukio hilo limetokea kwenye mji ulioathiriwa vibaya na uhalifu unaotokana na biashara hiyo haramu ya madawa ya kulevya wa Guayaquil, ambapo Cedeno alikuwa anasafiri kutoka mji huo kwenda mji Manta kwenye hafla moja ya kijeshi na ndipo watu hao walipolimiminia gari lake risasi zaidi ya 20 na kumuua papo hapo.

 

Wakati huo, Waziri wa Ulinzi wa Ecuador Gian Carlo Loffredo amesema mauaji ya Cedeno yanapaswa kujibiwa kwa vita kali dhidi ya magenge ya uhalifu.

Related post

RAS ARUSHA: MAFUNZO YA PPRA YATAONDOA UWEZEKANO WA KUPATA HASARA

RAS ARUSHA: MAFUNZO YA PPRA YATAONDOA UWEZEKANO WA KUPATA…

11 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score Katibu Tawala Mkoa wa Arusha, Bw. Missaile Musa amesema mafunzo yanayotolewa…
BIL 527 ZATEKELEZA MIRADI 13 YA TANROADS TABORA-ENG MLIMAJI

BIL 527 ZATEKELEZA MIRADI 13 YA TANROADS TABORA-ENG MLIMAJI

16 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score Katika kipindi cha miaka minne ya Serikali ya awamu ya sita…
DC NYAMWESE: MIL. 530/- KUJENGA WODI MPYA YA WAZAZI HOSPITALI YA HANDENI MJI

DC NYAMWESE: MIL. 530/- KUJENGA WODI MPYA YA WAZAZI…

14 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score ‎ ‎Na Job Karongo, Handeni TC ‎Mkuu wa Wilaya ya Handeni,…

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *