P. DIDDY NA JAY – Z WAFUTIWA MASHITAKA MAREKANI

P. DIDDY NA JAY – Z WAFUTIWA MASHITAKA MAREKANI

  • Burudani
  • February 15, 2025
  • No Comment
  • 99

Rapa Sean Diddy Combs maarufu kama P Diddy na mwenzake Jay – Z wamefutiwa mashitaka ya ubakaji yaliyokuwa yakiwakabili, baada ya mwanamke aliyewashtaki kwahiari yake kuondoa kesi hiyo mahakamani.

 

Mwanamke huyo aliyejulikana kwa jina la Jane Done aliwasilisha mahakamani kesi hiyo akidai kuwa alifanyiwa mkasa huo miaka 25 iliyopita na P. Diddy baada ya tafrija ya Tuzo za Muziki za MTV mwaka 2000, akiwa na umri wa miaka 13.

 

Lakini baadae pia Done alimwongeza rapa Jay – Z akidai kuwa nay eye siku ya tukio alikuwepo na kwamba alihusika katika kumdunga dawa za kulevya na baadae kumfanyia tukio la ubakaji.

Related post

WAFANYABIASHARA, WAJASIRIAMALI HANDENI WAFUNGUKA SABABU ZA KUJITOKEZA KUPIGA KURA OKTOBA 29

WAFANYABIASHARA, WAJASIRIAMALI HANDENI WAFUNGUKA SABABU ZA KUJITOKEZA KUPIGA KURA…

18 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score   Na Augusta Njoji, Handeni TC Makundi mbalimbali ya wananchi katika…
REA YAANZA KUSAMBAZA MITUNGI YA GESI 19,530 MKOANI MARA

REA YAANZA KUSAMBAZA MITUNGI YA GESI 19,530 MKOANI MARA

14 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score Wakala wa Nishati Vijijini (REA) imeanza kusambaza mitungi ya gesi 19,530…
SERIKALI KUPITIA UCSAF KUFIKISHA MAWASILIANO KATIKA MAENEO YA KIMKAKATI*.

SERIKALI KUPITIA UCSAF KUFIKISHA MAWASILIANO KATIKA MAENEO YA KIMKAKATI*.

Serikali kupitia Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF) inatarajia kuanza utekelezaji wa awamu mpya ya ujenzi wa minara 280 ya mawasiliano,…

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *