DHAHABU YAPANDA NA KUWEKA REKODI YA DOLA ZA MAREKANI BILIONI 4.3 KATIKA SOKO LA DUNIA

DHAHABU YAPANDA NA KUWEKA REKODI YA DOLA ZA MAREKANI BILIONI 4.3 KATIKA SOKO LA DUNIA

  • Habari
  • October 6, 2025
  • No Comment
  • 16
14 / 100 SEO Score

BoT

Kwa mujibu wa ripoti ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT) ya mwezi Septemba 2025 imeeleza kwamba rekodi ya madini ya dhahabu imepanda hadi kufikia dola za Marekani bilioni 4.3 katika soko la dunia.

Ripoti ya BoT imeeleza kwamba, uuzaji wa bidhaa za huduma nje ya nchi umeongezeka kwa asilimia 14.8 kwa mwaka na kufikia jumla ya dola za Kimarekani 16,894.4 mwishoni mwa mwezi Agosti 2025.

BoT imefafanua kuwa , kwa upande wa uuzaji wa dhahabu uliongezeka kwa asilimia 35.5 na kufikia dola milioni 4, 322.3 kutokana na kupanda kwa bei ya dhahabu katika soko la dunia.

Ikielezea kuhusu mauzo ya bidhaa kutoka Sekta ya Kilimo ripoti imeeleza kuwa, katika mwezi husika mauzo yaliongezeka hadi kufikia dola milioni 1,411.7 ambapo ongezeko hilo ni sawa na asilimia 28.3 lililotokana na mauzo ya korosho , tumbaku na kahawa.

Pamoja na dhahabu mauzo mengine ni bidhaa za viwandani, korosho Tumbaku na nafaka.

Related post

REA YAANZA KUSAMBAZA MITUNGI YA GESI 19,530 MKOANI MARA

REA YAANZA KUSAMBAZA MITUNGI YA GESI 19,530 MKOANI MARA

14 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score Wakala wa Nishati Vijijini (REA) imeanza kusambaza mitungi ya gesi 19,530…
SERIKALI KUPITIA UCSAF KUFIKISHA MAWASILIANO KATIKA MAENEO YA KIMKAKATI*.

SERIKALI KUPITIA UCSAF KUFIKISHA MAWASILIANO KATIKA MAENEO YA KIMKAKATI*.

Serikali kupitia Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF) inatarajia kuanza utekelezaji wa awamu mpya ya ujenzi wa minara 280 ya mawasiliano,…
TANZANIA YAJIPANGA KUONGOZA AFRIKA KATIKA MKUTANO WA COP30

TANZANIA YAJIPANGA KUONGOZA AFRIKA KATIKA MKUTANO WA COP30

16 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score Katibu Mkuu wa Ofisi ya Makamu wa Rais, Mhandisi Cyprian Luhemeja…

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *