DKT.NCHIMBI AENDELEZA KAMPENI DODOMA KWA KUMNADI DK.SAMIA

DKT.NCHIMBI AENDELEZA KAMPENI DODOMA KWA KUMNADI DK.SAMIA

  • Habari
  • October 16, 2025
  • No Comment
  • 9
13 / 100 SEO Score

PICHA mbalimbali za mkutano wa kampeni wa Mgombea mwenza wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Emmanuel John Nchimbi uliofanyika katika Kata ya Songambele,Jimbo la Kongwa mkoani Dodoma leo Oktoba 16, 2025.

Mkutano huo wa Dkt. Nchimbi ni wa 97 tangu alipoanza kufanya mikutano ya hadhara ya kampeni ya kusaka kura za mgombea Urais wa chama hicho Dkt. Samia Suluhu Hassan, kura za wagombea Ubunge na Udiwani wa chama hicho katika mikoa 24 kati ya hiyo 22 ni ya Tanzania Bara na 2 ya Zanzibar.

Related post

SERIKALI YAPANGA KUIMARISHA UBORA NA USALAMA WA  CHAKULA

SERIKALI YAPANGA KUIMARISHA UBORA NA USALAMA WA  CHAKULA

16 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Dkt. Suleiman Serera,akizungumza…
RAS ARUSHA: MAFUNZO YA PPRA YATAONDOA UWEZEKANO WA KUPATA HASARA

RAS ARUSHA: MAFUNZO YA PPRA YATAONDOA UWEZEKANO WA KUPATA…

11 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score Katibu Tawala Mkoa wa Arusha, Bw. Missaile Musa amesema mafunzo yanayotolewa…
BIL 527 ZATEKELEZA MIRADI 13 YA TANROADS TABORA-ENG MLIMAJI

BIL 527 ZATEKELEZA MIRADI 13 YA TANROADS TABORA-ENG MLIMAJI

16 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score Katika kipindi cha miaka minne ya Serikali ya awamu ya sita…

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *