MASHAMBULIZI YA URUSI YAUA WATU 31 UKRAINE

MASHAMBULIZI YA URUSI YAUA WATU 31 UKRAINE

  • Habari
  • August 1, 2025
  • No Comment
  • 31
14 / 100 SEO Score

Mamlaka za Ukraine zimesema Ijumaa kuwa idadi ya waliouawa mjini Kiev kufuatia shambulio la jana la Urusi, imefikia watu 31 baada ya miili zaidi kupatikana chini ya vifusi.

Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky amesema kuwa mwezi uliopita wa Julai, Urusi iliishambulia Ukraine kwa kutumia droni 3,800 na karibu makombora 260.

Zelensky ametaja kuridhishwa na ukweli kwamba Marekani, mataifa ya Ulaya, na washirika wengine wanaona wazi na kulaani kile kinachotokea huku akisisitiza kuwa mashambulizi ya Urusi yanaweza kusitishwa ikiwa kutakuwepo juhudi za pamoja.

Hayo yanajiri wakati Ujerumani imesema leo kuwa itaanza hivi karibuni kuwasilisha kwa Ukraine mifumo miwili ya ulinzi wa anga ya Patriot iliyotengenezwa na Marekani.

Related post

WAFANYABIASHARA, WAJASIRIAMALI HANDENI WAFUNGUKA SABABU ZA KUJITOKEZA KUPIGA KURA OKTOBA 29

WAFANYABIASHARA, WAJASIRIAMALI HANDENI WAFUNGUKA SABABU ZA KUJITOKEZA KUPIGA KURA…

18 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score   Na Augusta Njoji, Handeni TC Makundi mbalimbali ya wananchi katika…
REA YAANZA KUSAMBAZA MITUNGI YA GESI 19,530 MKOANI MARA

REA YAANZA KUSAMBAZA MITUNGI YA GESI 19,530 MKOANI MARA

14 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score Wakala wa Nishati Vijijini (REA) imeanza kusambaza mitungi ya gesi 19,530…
SERIKALI KUPITIA UCSAF KUFIKISHA MAWASILIANO KATIKA MAENEO YA KIMKAKATI*.

SERIKALI KUPITIA UCSAF KUFIKISHA MAWASILIANO KATIKA MAENEO YA KIMKAKATI*.

Serikali kupitia Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF) inatarajia kuanza utekelezaji wa awamu mpya ya ujenzi wa minara 280 ya mawasiliano,…

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *