WAZIRI JAFO AAGIZA MSAKO MKALI KARIAKOO

WAZIRI JAFO AAGIZA MSAKO MKALI KARIAKOO

  • Habari
  • May 7, 2025
  • No Comment
  • 65

Waziri wa Viwanda na Biashara, Selemani Jaffo ametoa maelekezo ya kufanyika kwa msako wa kubaini wanaofanya biashara bila kufuata taratibu za Kisheria kwa muda wa mwezi mmoja kuanzia leo Mei 7, 2025.

 

Jaffo ameyasema hayo wakati wa ziara yake katika Soko la Kariakoo na kueleza kuna ukiukwaji wa Sheria za Nchi unaofanywa na Wageni kwa kushirikiana na wazawa, kwa kufanya biashara bila kuwa na vibali vinavyotakiwa.

 

Mnamo Aprili 16, 2025 ziliibuka tuhuma kutoka kwa wadau ambao pia walitoa wito kwa Serikali kuweka mifumo madhubuti ya kudhibiti, kusimamia na kuelekeza uwekezaji wa kigeni ili kuhakikisha kuwa faida za uwekezaji huo zinawanufaisha Watanzania wengi Zaidi.

Related post

REA YAANZA KUSAMBAZA MITUNGI YA GESI 19,530 MKOANI MARA

REA YAANZA KUSAMBAZA MITUNGI YA GESI 19,530 MKOANI MARA

14 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score Wakala wa Nishati Vijijini (REA) imeanza kusambaza mitungi ya gesi 19,530…
SERIKALI KUPITIA UCSAF KUFIKISHA MAWASILIANO KATIKA MAENEO YA KIMKAKATI*.

SERIKALI KUPITIA UCSAF KUFIKISHA MAWASILIANO KATIKA MAENEO YA KIMKAKATI*.

Serikali kupitia Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF) inatarajia kuanza utekelezaji wa awamu mpya ya ujenzi wa minara 280 ya mawasiliano,…
TANZANIA YAJIPANGA KUONGOZA AFRIKA KATIKA MKUTANO WA COP30

TANZANIA YAJIPANGA KUONGOZA AFRIKA KATIKA MKUTANO WA COP30

16 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score Katibu Mkuu wa Ofisi ya Makamu wa Rais, Mhandisi Cyprian Luhemeja…

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *