𝗗𝗞𝗧.𝗦𝗔𝗠𝗜𝗔 𝗔𝗛𝗔𝗡𝗜 𝗠𝗦𝗜𝗕𝗔 𝗪𝗔 𝗔𝗕𝗕𝗔𝗦 𝗔𝗟𝗜 𝗛𝗔𝗦𝗦𝗔𝗡 𝗠𝗪𝗜𝗡𝗬𝗜

𝗗𝗞𝗧.𝗦𝗔𝗠𝗜𝗔 𝗔𝗛𝗔𝗡𝗜 𝗠𝗦𝗜𝗕𝗔 𝗪𝗔 𝗔𝗕𝗕𝗔𝗦 𝗔𝗟𝗜 𝗛𝗔𝗦𝗦𝗔𝗡 𝗠𝗪𝗜𝗡𝗬𝗜

  • Habari
  • September 26, 2025
  • No Comment
  • 51
17 / 100 SEO Score

𝙆𝙪𝙩𝙤𝙠𝙚𝙖 𝙐𝙣𝙜𝙪𝙟𝙖 𝙫𝙞𝙨𝙞𝙬𝙖𝙣𝙞 𝙕𝙖𝙣𝙯𝙞𝙗𝙖𝙧

Mgombea nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi CCM Dkt. 𝗦𝗮𝗺𝗶𝗮 𝗦𝘂𝗹𝘂𝗵𝘂 𝗛𝗮𝘀𝘀𝗮𝗻 akisaini Kitabu cha kumbukumbu ya maombolezo pamoja na kumfariji Mama Siti Mwinyi pamoja na familia ya hayati Mzee Ali Hassan Mwinyi wakati alipofika Bweleo Wilaya ya Magharibi B, Mkoa wa Mjini Unguja kwaajili ya kuifariji familia hiyo kufuatia kifo cha Kaka yao Hayati Abass Ali Mwinyi, leo Ijumaa Septemba 26, 2025.     

Related post

SERIKALI YAPANGA KUIMARISHA UBORA NA USALAMA WA  CHAKULA

SERIKALI YAPANGA KUIMARISHA UBORA NA USALAMA WA  CHAKULA

16 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Dkt. Suleiman Serera,akizungumza…
RAS ARUSHA: MAFUNZO YA PPRA YATAONDOA UWEZEKANO WA KUPATA HASARA

RAS ARUSHA: MAFUNZO YA PPRA YATAONDOA UWEZEKANO WA KUPATA…

11 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score Katibu Tawala Mkoa wa Arusha, Bw. Missaile Musa amesema mafunzo yanayotolewa…
BIL 527 ZATEKELEZA MIRADI 13 YA TANROADS TABORA-ENG MLIMAJI

BIL 527 ZATEKELEZA MIRADI 13 YA TANROADS TABORA-ENG MLIMAJI

16 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score Katika kipindi cha miaka minne ya Serikali ya awamu ya sita…

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *