DKT.NCHIMBI ATOA POLE MSIBA WA SPIKA MSTAAFU JOB NDUGAI

DKT.NCHIMBI ATOA POLE MSIBA WA SPIKA MSTAAFU JOB NDUGAI

  • Habari
  • August 8, 2025
  • No Comment
  • 25
12 / 100 SEO Score

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi akitoa pole kwa Dkt. Fatma Mganga, ambaye ni mjane wa Mhe. Job Yustino Ndugai, Spika Mstaafu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, alipofika nyumbani kwa marehemu, Mtaa wa Njedengwa, jijini Dodoma, leo Ijumaa tarehe 9 Agosti 2025. 

 Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, akiwa na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Rosemary Senyamule, akiwapa pole baadhi ya waombolezaji kwenye msiba wa Spika Mstaafu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Job Yustino Ndugai, alipofika nyumbani kwa marehemu, Mtaa wa Njedengwa, jijini Dodoma, kwa ajili ya kusaini kitabu na kutoa pole, leo Ijumaa tarehe 9 Agosti 2025.

Related post

SERIKALI YAPANGA KUIMARISHA UBORA NA USALAMA WA  CHAKULA

SERIKALI YAPANGA KUIMARISHA UBORA NA USALAMA WA  CHAKULA

16 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Dkt. Suleiman Serera,akizungumza…
RAS ARUSHA: MAFUNZO YA PPRA YATAONDOA UWEZEKANO WA KUPATA HASARA

RAS ARUSHA: MAFUNZO YA PPRA YATAONDOA UWEZEKANO WA KUPATA…

11 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score Katibu Tawala Mkoa wa Arusha, Bw. Missaile Musa amesema mafunzo yanayotolewa…
BIL 527 ZATEKELEZA MIRADI 13 YA TANROADS TABORA-ENG MLIMAJI

BIL 527 ZATEKELEZA MIRADI 13 YA TANROADS TABORA-ENG MLIMAJI

16 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score Katika kipindi cha miaka minne ya Serikali ya awamu ya sita…

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *