MAKAMU WA RAIS ASHIRIKI IBADA YA JUBILEI YA MIAKA 50 YA DAYOSISI YA PARE

MAKAMU WA RAIS ASHIRIKI IBADA YA JUBILEI YA MIAKA 50 YA DAYOSISI YA PARE

  • Habari
  • October 19, 2025
  • No Comment
  • 4
14 / 100 SEO Score
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akisalimiana na Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Askofu Dkt. Alex Malasusa wakati alipowasili Same mkoani Kilimanjaro kushiriki Ibada Maalum ya Kilele cha Jubilei ya Miaka 50 ya Kuzaliwa kwa Dayosisi ya Pare leo tarehe 19 Oktoba 2025.

   Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akisalimiana Maaskofu mbalimbali wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) wakati alipowasili Same mkoani Kilimanjaro kushiriki Ibada Maalum ya Kilele cha Jubilei ya Miaka 50 ya Kuzaliwa kwa Dayosisi ya Pare leo tarehe 19 Oktoba 2025.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akiwa na Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Askofu Dkt. Alex Malasusa wakizindua mnara wa kumbukumbu ya Jubilei ya Miaka 50 ya Kuzaliwa kwa Dayosisi ya Pare wakati wa Ibada Maalum ya Jubilei hiyo iliyofanyika Makao Makuu ya Dayosisi ya Pare, Same mkoani Kilimanjaro leo tarehe 19 Oktoba 2025.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akiwa na Viongozi mbalimbali wakishiriki Ibada Maalum ya Kilele cha Jubilei ya Miaka 50 ya Kuzaliwa kwa Dayosisi ya Pare, Same mkoani Kilimanjaro leo tarehe 19 Oktoba 2025.

Related post

WAFANYABIASHARA, WAJASIRIAMALI HANDENI WAFUNGUKA SABABU ZA KUJITOKEZA KUPIGA KURA OKTOBA 29

WAFANYABIASHARA, WAJASIRIAMALI HANDENI WAFUNGUKA SABABU ZA KUJITOKEZA KUPIGA KURA…

18 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score   Na Augusta Njoji, Handeni TC Makundi mbalimbali ya wananchi katika…
REA YAANZA KUSAMBAZA MITUNGI YA GESI 19,530 MKOANI MARA

REA YAANZA KUSAMBAZA MITUNGI YA GESI 19,530 MKOANI MARA

14 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score Wakala wa Nishati Vijijini (REA) imeanza kusambaza mitungi ya gesi 19,530…
SERIKALI KUPITIA UCSAF KUFIKISHA MAWASILIANO KATIKA MAENEO YA KIMKAKATI*.

SERIKALI KUPITIA UCSAF KUFIKISHA MAWASILIANO KATIKA MAENEO YA KIMKAKATI*.

Serikali kupitia Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF) inatarajia kuanza utekelezaji wa awamu mpya ya ujenzi wa minara 280 ya mawasiliano,…

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *