CHRIS BROWN ADAI FIDIA YA TSH TRION 1.2 KWA KUCHAFULIWA

CHRIS BROWN ADAI FIDIA YA TSH TRION 1.2 KWA KUCHAFULIWA

  • Burudani
  • January 23, 2025
  • No Comment
  • 175

Mwanamuziki Wa Marekani Chris Brown Amewasilisha Kesi Dhidi Ya Kampuni Ya Filamu, Warner Bros. Discovery, Kwa Madai Kuwa Kampuni Hiyo Ilichapisha Taarifa Za Uongo Na Zinazomdhalilisha Kupitia ‘Documentary’ Ya “Chris Brown: A History Of Violence”.

 

Katika Kesi Hiyo Brown Ameitaka Kampuni Hiyo Kumlipa Kiasi Cha Tsh. Trilioni 1.2, Kwa Kumchafua Bila Kujali Madhara Ambayo Yangempata.

 

Mwanasheria Wake, Levi Mccathern Amesema “Kesi Hii Ni Kuhusu Kulinda Ukweli, Licha Ya Kupewa Ushahidi Kuwa Taarifa Hizo Si Za Kweli Bado Kampuni Hiyo Iliandaa ‘Documentary’ Hiyo Na Kuichapisha Kwa Makusudi Wakifahamu Wako Kinyume Na Majukumu Yao Kama Waandishi Wa Habari.”

 

Documentary Ya Chris Brown A History Of Violence Inamuonesha Mwanamuziki Huyo Sambamba Na Mwanamuziki Mwenzake P Diddy Aliyekizuizini Hadi Sasa Wakiwa Na Mwanamke Ambaye Inaelezwa Kuwa Chris Brown Alimdharirisha Baada Ya Kumpa Pombe Kali.

✍️| Kastul Elias

Related post

REA YAANZA KUSAMBAZA MITUNGI YA GESI 19,530 MKOANI MARA

REA YAANZA KUSAMBAZA MITUNGI YA GESI 19,530 MKOANI MARA

14 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score Wakala wa Nishati Vijijini (REA) imeanza kusambaza mitungi ya gesi 19,530…
SERIKALI KUPITIA UCSAF KUFIKISHA MAWASILIANO KATIKA MAENEO YA KIMKAKATI*.

SERIKALI KUPITIA UCSAF KUFIKISHA MAWASILIANO KATIKA MAENEO YA KIMKAKATI*.

Serikali kupitia Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF) inatarajia kuanza utekelezaji wa awamu mpya ya ujenzi wa minara 280 ya mawasiliano,…
TANZANIA YAJIPANGA KUONGOZA AFRIKA KATIKA MKUTANO WA COP30

TANZANIA YAJIPANGA KUONGOZA AFRIKA KATIKA MKUTANO WA COP30

16 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score Katibu Mkuu wa Ofisi ya Makamu wa Rais, Mhandisi Cyprian Luhemeja…

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *