DRC YAPIGA MARUFUKU NDEGE ZA RWANDA KUTUMIA ANGA LAKE

  • Habari
  • February 12, 2025
  • No Comment
  • 81

Serikali ya Jamhuri ya Kongo imepiga marufuku ndege zote za kiraia na za serikali zilizosajiliwa Rwanda au kwingineko lakini zenye makao yake nchini Rwanda kuruka juu ya anga ya DRC.

 

Hatua hiyo imefikiwa na serikali ya Kinshasa kufuatia vita vya kichokozi vilivyosababisha vifo vya watu 3,000 huko Goma ambapo Rwanda imekua ikituhumiwa na serikali ya Rais Tshisekedi kuhusika moja kwa moja katika vita hiyo.

 

Hata hivyo, Wachambuzi wanasema hatua hii itakuwa pigo kwa Rwanda kutokana na ukubwa wa anga ya Kongo, lakini wanahoji ni namna gani serikali ya Kinshasa itaweza kutekeleza hatua hiyo.

Related post

SERIKALI YAPANGA KUIMARISHA UBORA NA USALAMA WA  CHAKULA

SERIKALI YAPANGA KUIMARISHA UBORA NA USALAMA WA  CHAKULA

16 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Dkt. Suleiman Serera,akizungumza…
RAS ARUSHA: MAFUNZO YA PPRA YATAONDOA UWEZEKANO WA KUPATA HASARA

RAS ARUSHA: MAFUNZO YA PPRA YATAONDOA UWEZEKANO WA KUPATA…

11 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score Katibu Tawala Mkoa wa Arusha, Bw. Missaile Musa amesema mafunzo yanayotolewa…
BIL 527 ZATEKELEZA MIRADI 13 YA TANROADS TABORA-ENG MLIMAJI

BIL 527 ZATEKELEZA MIRADI 13 YA TANROADS TABORA-ENG MLIMAJI

16 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score Katika kipindi cha miaka minne ya Serikali ya awamu ya sita…

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *