IRAN YASEMA VITISHO VYA ISRAEL BADO VINAENDELEA

IRAN YASEMA VITISHO VYA ISRAEL BADO VINAENDELEA

  • Habari
  • August 3, 2025
  • No Comment
  • 39
13 / 100 SEO Score

Kamanda Mkuu wa jeshi la Iran Amir Hatami amesema leo kuwa vitisho kutoka kwa Israel bado vinaendelea, akisisitiza kuwa Tehran iko tayari kujibu kwa nguvu iwapo uchokozi utaanzishwa upya.

 

Hatami ameongeza kuwa Iran haipaswi kumdharau adui akimaanisha Israel na kufikiria vitisho vyake vimekwisha.

 

Kamanda Mkuu huyo wa jeshi la Iran ameeleza kwamba nguvu ya makombora na droni ya Jamhuri hiyo ya Kiislamu inasalia imara na tayari kwa oparesheni.

 

Mnamo mwezi Juni, Israel na Marekani zilifanya mashambulizi dhidi ya vituo vya nyuklia vya Iran wakati wa kile kinachojulikana kama vita vya siku 12 kati ya Israel na Iran.

 

Mwezi uliopita, waziri wa ulinzi wa Israel Israel Katz alionya kwamba nchi yake itaishambulia tena Iran iwapo itatishiwa usalama wake.

Related post

SERIKALI YAPANGA KUIMARISHA UBORA NA USALAMA WA  CHAKULA

SERIKALI YAPANGA KUIMARISHA UBORA NA USALAMA WA  CHAKULA

16 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Dkt. Suleiman Serera,akizungumza…
RAS ARUSHA: MAFUNZO YA PPRA YATAONDOA UWEZEKANO WA KUPATA HASARA

RAS ARUSHA: MAFUNZO YA PPRA YATAONDOA UWEZEKANO WA KUPATA…

11 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score Katibu Tawala Mkoa wa Arusha, Bw. Missaile Musa amesema mafunzo yanayotolewa…
BIL 527 ZATEKELEZA MIRADI 13 YA TANROADS TABORA-ENG MLIMAJI

BIL 527 ZATEKELEZA MIRADI 13 YA TANROADS TABORA-ENG MLIMAJI

16 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score Katika kipindi cha miaka minne ya Serikali ya awamu ya sita…

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *