MAKAMU WA RAIS KUZINDUA TAWI LA BENKI YA CRDB – BUHIGWE KIGOMA

MAKAMU WA RAIS KUZINDUA TAWI LA BENKI YA CRDB – BUHIGWE KIGOMA

  • Habari
  • August 26, 2025
  • No Comment
  • 21
13 / 100 SEO Score

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akisalimiana na Viongozi mbalimbali wakati akiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kigoma leo tarehe 26 Agosti 2025. Makamu wa Rais anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika Ufunguzi wa Tawi la Benki ya CRDB Wilaya ya Buhigwe utakaofanyika tarehe 27 Agosti 2025

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akisalimiana na Viongozi mbalimbali wakati akiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kigoma leo tarehe 26 Agosti 2025. Makamu wa Rais anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika Ufunguzi wa Tawi la Benki ya CRDB Wilaya ya Buhigwe utakaofanyika tarehe 27 Agosti 2025.

Related post

SERIKALI YAPANGA KUIMARISHA UBORA NA USALAMA WA  CHAKULA

SERIKALI YAPANGA KUIMARISHA UBORA NA USALAMA WA  CHAKULA

16 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Dkt. Suleiman Serera,akizungumza…
RAS ARUSHA: MAFUNZO YA PPRA YATAONDOA UWEZEKANO WA KUPATA HASARA

RAS ARUSHA: MAFUNZO YA PPRA YATAONDOA UWEZEKANO WA KUPATA…

11 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score Katibu Tawala Mkoa wa Arusha, Bw. Missaile Musa amesema mafunzo yanayotolewa…
BIL 527 ZATEKELEZA MIRADI 13 YA TANROADS TABORA-ENG MLIMAJI

BIL 527 ZATEKELEZA MIRADI 13 YA TANROADS TABORA-ENG MLIMAJI

16 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score Katika kipindi cha miaka minne ya Serikali ya awamu ya sita…

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *