MKATABA WASAINIWA, IBRAAH AACHANA NA KONDE GANG

MKATABA WASAINIWA, IBRAAH AACHANA NA KONDE GANG

Baada ya mvutano mkubwa na Lebo yake, Msanii wa Bongo Fleva, Ibraah, ameondoka rasmi kwenye lebo ya Konde Gang na sasa ataendelea na kazi zake za muziki kama msanii huru.

Hili limetokea baada ya kufikiwa kwa makubaliano kati yake na lebo hiyo kufuatia mgogoro uliodumu kwa muda wa wiki mbili.

 

Makubaliano hayo yamesainiwa mbele ya Katibu Mtendaji wa Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) Dkt. Kedmon Mapana ambapo Ibraah alifuatana na mshauri wake wa biashara, huku Konde Gang ikiwakilishwa na wakili wake Artist Manger Sandra.

Related post

REA YAANZA KUSAMBAZA MITUNGI YA GESI 19,530 MKOANI MARA

REA YAANZA KUSAMBAZA MITUNGI YA GESI 19,530 MKOANI MARA

14 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score Wakala wa Nishati Vijijini (REA) imeanza kusambaza mitungi ya gesi 19,530…
SERIKALI KUPITIA UCSAF KUFIKISHA MAWASILIANO KATIKA MAENEO YA KIMKAKATI*.

SERIKALI KUPITIA UCSAF KUFIKISHA MAWASILIANO KATIKA MAENEO YA KIMKAKATI*.

Serikali kupitia Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF) inatarajia kuanza utekelezaji wa awamu mpya ya ujenzi wa minara 280 ya mawasiliano,…
TANZANIA YAJIPANGA KUONGOZA AFRIKA KATIKA MKUTANO WA COP30

TANZANIA YAJIPANGA KUONGOZA AFRIKA KATIKA MKUTANO WA COP30

16 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score Katibu Mkuu wa Ofisi ya Makamu wa Rais, Mhandisi Cyprian Luhemeja…

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *