SAFARI YA STARS CHAN 2024 KUANZA LEO

SAFARI YA STARS CHAN 2024 KUANZA LEO

  • Michezo
  • August 2, 2025
  • No Comment
  • 54
14 / 100 SEO Score

Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars, itashuka dimbani leo saa 2:00 usiku katika Uwanja wa Benjamin Mkapa kwenye mchezo wa kwanza wa Kundi B na wa ufunguzi wa mashindano ya CHAN 2024 kumenyana na Burkina Faso.

Mashindano haya ya CHAN yanafanyika kwa mara ya kwanza kwa ushirikiano wa nchi tatu za Tanzania, Kenya na Uganda.

 

Stars imepangwa Kundi B lenye timu kama Burkina Faso, Mauritania, Madagascar na Afrika ya Kati, huku Kenya wao wakipangwa Kundi A pamoja na DR Congo, Morocco, Angola na Zambia. Wakati huo Uganda yeye akipangwa C lenye timu kama Algeria, South Africa, Guinea, Niger na Uganda.

Related post

REA YAANZA KUSAMBAZA MITUNGI YA GESI 19,530 MKOANI MARA

REA YAANZA KUSAMBAZA MITUNGI YA GESI 19,530 MKOANI MARA

14 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score Wakala wa Nishati Vijijini (REA) imeanza kusambaza mitungi ya gesi 19,530…
SERIKALI KUPITIA UCSAF KUFIKISHA MAWASILIANO KATIKA MAENEO YA KIMKAKATI*.

SERIKALI KUPITIA UCSAF KUFIKISHA MAWASILIANO KATIKA MAENEO YA KIMKAKATI*.

Serikali kupitia Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF) inatarajia kuanza utekelezaji wa awamu mpya ya ujenzi wa minara 280 ya mawasiliano,…
TANZANIA YAJIPANGA KUONGOZA AFRIKA KATIKA MKUTANO WA COP30

TANZANIA YAJIPANGA KUONGOZA AFRIKA KATIKA MKUTANO WA COP30

16 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score Katibu Mkuu wa Ofisi ya Makamu wa Rais, Mhandisi Cyprian Luhemeja…

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *