SIMBA SC KUIVAA MBEYA CITY KESHO CRDB CUP

SIMBA SC KUIVAA MBEYA CITY KESHO CRDB CUP

  • Michezo
  • April 12, 2025
  • No Comment
  • 15

Hatua ya robo fainali ya Kombe la CRDB Bank Federation Cup itaanza kutimua vumbi kesho jumapili ambapo Wekundu wa Msimbazi, Simba SC watawaalika Mbeya City mchezo utakaochezwa katika dimba la KMC, Mwenge Jijini Dar es Salaam.

 

Mbali na hapo siku ya jumatatu ya Aprili 14, 2025 JKT Tanzania watawaalika Pamba Jiji huku Singida Black Stars wakitafuta nafasi ya kutinga nusu fainali ya kombe hilo kwa kucheza na Kagera Sugar.

 

Hatua ya robo fainali itatamatishwa na mchezo kati ya mabingwa tetezi wa michuano hiyo, Klabu ya Yanga ambao watachuana vikali na wapiga debe wa Shinyanga, Stand United siku ya jumanne ya Aprili 15, 2025 katika dimba la KMC Complex.

Related post

WAZIRI JAFO AAGIZA MSAKO MKALI KARIAKOO

WAZIRI JAFO AAGIZA MSAKO MKALI KARIAKOO

Waziri wa Viwanda na Biashara, Selemani Jaffo ametoa maelekezo ya kufanyika kwa msako wa kubaini wanaofanya biashara bila kufuata taratibu za…
WATU SABA WAPOTEZA MAISHA MLIPUKO WA BOMU SUDAN

WATU SABA WAPOTEZA MAISHA MLIPUKO WA BOMU SUDAN

Watu wasiopungua saba wameuawa na wengine 20 wajeruhiwa kufuatia mashambulizi ya mabomu katika mji wa Old Fangak, nchini Sudan Kusini.  …
TANZANIA NA MALAWI ZASAINI MAKUBALIANO KUENDELEA NA BIASHARA

TANZANIA NA MALAWI ZASAINI MAKUBALIANO KUENDELEA NA BIASHARA

Nchi za Tanzania pamoja na Malawi zimekubaliana kuendelea na biashara kuanzia Mei 02, 2025 kufuatia kikao cha Mawaziri wa Mambo ya…

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *