WAUWAWA KATIKA MAJIBIZANO YA RISASI NA POLISI KIGOMA

WAUWAWA KATIKA MAJIBIZANO YA RISASI NA POLISI KIGOMA

  • Habari
  • August 1, 2025
  • No Comment
  • 34
11 / 100 SEO Score

Watu watatu wanaosadikika kuwa ni majambazi wameuawa katika majibizano na askari wa Jeshi la Polisi baada ya kunaswa wakijaribu kuteka magari ya abiria yanayotoka Kigoma kuelekea mikoa mingine.


Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Kigoma, ACP Filemon Makungu, amesema majambazi hao walikuwa wakilenga kuwapora maki abiria mbalimbali zikiwemo simu, fedha taslimu na vitu vingine vya thamani, kabla ya kuingia kwenye mtego wa polisi.

Tukio hilo limetokea katika Kijiji cha Kigendeka, Wilaya ya Kibondo, mkoani Kigoma ambapo taarifa ya Jeshi la Polisi imeongeza kuwa, silaha mbili zimekamatwa katika tukio hilo, ikiwemo bunduki aina ya AK-47 na nyingine ya kutengenezwa kienyeji, ambazo majambazi walikuwa wakizitumia kutekeleza uhalifu wao.

Related post

WAFANYABIASHARA, WAJASIRIAMALI HANDENI WAFUNGUKA SABABU ZA KUJITOKEZA KUPIGA KURA OKTOBA 29

WAFANYABIASHARA, WAJASIRIAMALI HANDENI WAFUNGUKA SABABU ZA KUJITOKEZA KUPIGA KURA…

18 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score   Na Augusta Njoji, Handeni TC Makundi mbalimbali ya wananchi katika…
REA YAANZA KUSAMBAZA MITUNGI YA GESI 19,530 MKOANI MARA

REA YAANZA KUSAMBAZA MITUNGI YA GESI 19,530 MKOANI MARA

14 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score Wakala wa Nishati Vijijini (REA) imeanza kusambaza mitungi ya gesi 19,530…
SERIKALI KUPITIA UCSAF KUFIKISHA MAWASILIANO KATIKA MAENEO YA KIMKAKATI*.

SERIKALI KUPITIA UCSAF KUFIKISHA MAWASILIANO KATIKA MAENEO YA KIMKAKATI*.

Serikali kupitia Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF) inatarajia kuanza utekelezaji wa awamu mpya ya ujenzi wa minara 280 ya mawasiliano,…

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *