KIONGOZI WA KUPAMBANA NA DAWA ZA KULEVYA AUWAWA ECUADOR

KIONGOZI WA KUPAMBANA NA DAWA ZA KULEVYA AUWAWA ECUADOR

  • Habari
  • February 15, 2025
  • No Comment
  • 84

Polisi nchini Ecuador imesema kuwa Kanali Porfirio Cedeno, aliyekuwa kiongozi wa kikosi maalamu cha anga cha kupambana na mtandao wa wauza dawa za kulevya amefariki dunia baada ya kupigwa risasi na watu wenye silaha.

 

Tukio hilo limetokea kwenye mji ulioathiriwa vibaya na uhalifu unaotokana na biashara hiyo haramu ya madawa ya kulevya wa Guayaquil, ambapo Cedeno alikuwa anasafiri kutoka mji huo kwenda mji Manta kwenye hafla moja ya kijeshi na ndipo watu hao walipolimiminia gari lake risasi zaidi ya 20 na kumuua papo hapo.

 

Wakati huo, Waziri wa Ulinzi wa Ecuador Gian Carlo Loffredo amesema mauaji ya Cedeno yanapaswa kujibiwa kwa vita kali dhidi ya magenge ya uhalifu.

Related post

WAFANYABIASHARA, WAJASIRIAMALI HANDENI WAFUNGUKA SABABU ZA KUJITOKEZA KUPIGA KURA OKTOBA 29

WAFANYABIASHARA, WAJASIRIAMALI HANDENI WAFUNGUKA SABABU ZA KUJITOKEZA KUPIGA KURA…

18 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score   Na Augusta Njoji, Handeni TC Makundi mbalimbali ya wananchi katika…
REA YAANZA KUSAMBAZA MITUNGI YA GESI 19,530 MKOANI MARA

REA YAANZA KUSAMBAZA MITUNGI YA GESI 19,530 MKOANI MARA

14 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score Wakala wa Nishati Vijijini (REA) imeanza kusambaza mitungi ya gesi 19,530…
SERIKALI KUPITIA UCSAF KUFIKISHA MAWASILIANO KATIKA MAENEO YA KIMKAKATI*.

SERIKALI KUPITIA UCSAF KUFIKISHA MAWASILIANO KATIKA MAENEO YA KIMKAKATI*.

Serikali kupitia Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF) inatarajia kuanza utekelezaji wa awamu mpya ya ujenzi wa minara 280 ya mawasiliano,…

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *