UNFPA YASITIKITISHWA NA MAREKANI KUSITISHA UFADHILI WAKE

UNFPA YASITIKITISHWA NA MAREKANI KUSITISHA UFADHILI WAKE

  • Habari
  • May 11, 2025
  • No Comment
  • 22

Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Afya ya Uzazi na Jinsia (UNFPA) limetangaza kuwa Serikali ya Marekani imeamua kusitisha ufadhili wake wa baadaye kwa shirika hilo, hatua inayotajwa kusitisha msaada muhimu kwa Mamilioni ya Watu walio katika Mazingira ya Migogoro na kwa Wakunga wanaookoa Maisha ya akina Mama wakati wa kujifungua

 

Imeelezwa Marekani imefikia hatua hiyo ikidai UNFPA inahusishwa na utoaji wa Mimba wa kulazimishwa na upasuaji wa Uzazi wa hiari Nchini China, madai ambayo yamekanushwa mara kadhaa na tathmini huru, ikiwemo zile zilizofanywa na Serikali ya Marekani yenyewe

 

Uamuzi huu unakuja huku zaidi ya ruzuku 40 za kibinadamu zikiwa tayari zimesitishwa, zenye thamani ya takriban Dola Milioni 335. UNFPA ilikuwa ikitegemea wastani wa Dola Milioni 180 kutoka Marekani kwa kila mwaka.

Related post

PACOME ASAINI MKATABA MPYA YANGA

PACOME ASAINI MKATABA MPYA YANGA

13 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score Kiungo mshambuliaji wa klabu ya Yanga, Pacome Zouzoua ameongeza mkataba wa…
MELI YA MIZIGO YAWAKA MOTO BANDARI YA KIGOMA

MELI YA MIZIGO YAWAKA MOTO BANDARI YA KIGOMA

13 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score Watu wawili wamekufa baada ya moto kuteteza meli Kigoma Meli ya…
REA, HALMASHAURI YA WILAYA YA  MANYONI WAGAWA MAJIKO YA GESI KWA WANANCHI

REA, HALMASHAURI YA WILAYA YA MANYONI WAGAWA MAJIKO YA…

17 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score  *Wananchi zaidi ya 500 wapatiwa majiko ya gesi ya Kg.6 Manyoni*…

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *