MGOGORO WA MAREKANI NA CHINA WACHUKUA SURA MPYA

MGOGORO WA MAREKANI NA CHINA WACHUKUA SURA MPYA

  • Habari
  • April 17, 2025
  • No Comment
  • 74

Kufuatia mgogoro wa kibiashara na Marekani, China imepunguza ununuzi wa mafuta kutoka Marekani kwa asilimia 90 na kuanza kuagiza kiasi kikubwa cha mafuta kutoka katika Taifa la Canada.

Uagizaji wa mafuta ya Marekani kwenda China umeshuka kwa kiasi kikubwa kutoka mapipa milioni 29 mwezi Juni, 2024 hadi milioni 3 mwezi huu.

Mvutano wa kibiashara kati ya mataifa haya mawili ulizuka baada ya Rais wa Marekani kutangaza kuweka kodi katika bidhaa zinazoingizwa nchini humo kutoka China lakini umeingia katika siku mbaya baada ya Trump kuongeza kodi hiyo hadi asilimia 245 kwa bidhaa zote za Uchina.

Related post

REA YAANZA KUSAMBAZA MITUNGI YA GESI 19,530 MKOANI MARA

REA YAANZA KUSAMBAZA MITUNGI YA GESI 19,530 MKOANI MARA

14 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score Wakala wa Nishati Vijijini (REA) imeanza kusambaza mitungi ya gesi 19,530…
SERIKALI KUPITIA UCSAF KUFIKISHA MAWASILIANO KATIKA MAENEO YA KIMKAKATI*.

SERIKALI KUPITIA UCSAF KUFIKISHA MAWASILIANO KATIKA MAENEO YA KIMKAKATI*.

Serikali kupitia Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF) inatarajia kuanza utekelezaji wa awamu mpya ya ujenzi wa minara 280 ya mawasiliano,…
TANZANIA YAJIPANGA KUONGOZA AFRIKA KATIKA MKUTANO WA COP30

TANZANIA YAJIPANGA KUONGOZA AFRIKA KATIKA MKUTANO WA COP30

16 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score Katibu Mkuu wa Ofisi ya Makamu wa Rais, Mhandisi Cyprian Luhemeja…

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *