PRESHA YAONGEZEKA KWA KOCHA MOROCCO BAADA YA STARS KUPOTEZA MECHI YA NNE MFULULIZO

PRESHA YAONGEZEKA KWA KOCHA MOROCCO BAADA YA STARS KUPOTEZA MECHI YA NNE MFULULIZO

  • Michezo
  • October 14, 2025
  • No Comment
  • 10
11 / 100 SEO Score

TIMU  ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) imeendelea kupata matokeo mabaya baada ya kupoteza mchezo wake wa nne mfululizo, kufuatia kichapo cha mabao 2-0 kutoka kwa Iran katika mchezo wa kimataifa wa kirafiki uliochezwa leo Jumanne, Oktoba 14, mjini Dubai.

Stars, ambayo haijapata ushindi tangu ilipotolewa kwenye hatua ya robo fainali ya CHAN 2024 kwa kufungwa na Morocco bao 1-0, imekuwa ikisuasua pia katika michezo ya kufuzu Kombe la Dunia, ikipoteza mechi mbili mfululizo dhidi ya Niger na Zambia kwa matokeo kama hayo.

Matokeo haya yanazidisha presha kwa Kocha Hemed Morocco, ambaye alikabidhiwa majukumu ya kuinoa timu hiyo baada ya kuondoka kwa kocha wa zamani kutoka Algeria, Adel Amrouche, mwaka 2024.

Related post

REA YAANZA KUSAMBAZA MITUNGI YA GESI 19,530 MKOANI MARA

REA YAANZA KUSAMBAZA MITUNGI YA GESI 19,530 MKOANI MARA

14 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score Wakala wa Nishati Vijijini (REA) imeanza kusambaza mitungi ya gesi 19,530…
SERIKALI KUPITIA UCSAF KUFIKISHA MAWASILIANO KATIKA MAENEO YA KIMKAKATI*.

SERIKALI KUPITIA UCSAF KUFIKISHA MAWASILIANO KATIKA MAENEO YA KIMKAKATI*.

Serikali kupitia Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF) inatarajia kuanza utekelezaji wa awamu mpya ya ujenzi wa minara 280 ya mawasiliano,…
TANZANIA YAJIPANGA KUONGOZA AFRIKA KATIKA MKUTANO WA COP30

TANZANIA YAJIPANGA KUONGOZA AFRIKA KATIKA MKUTANO WA COP30

16 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score Katibu Mkuu wa Ofisi ya Makamu wa Rais, Mhandisi Cyprian Luhemeja…

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *